LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013
JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA
ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.
IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404
REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI
12/29/09
Misiri kuruhusu waandamanaji 100 kuingia Gaza.
Gospel Music Center 0
Maharamia wa Kisomali wakamata meli mbili zaidi.
Gospel Music Center 0
Maharamia wa Kisomali wakamata meli mbili zaidi.
Gospel Music Center 0
Serikali ya Ujerumani yaishutumu Iran .
Gospel Music Center 0
Viwanja vya ndege vyaongeza ulinzi.
Gospel Music Center 0
Watu 33 wameuawa katika mapambano nchini Nigeria
Gospel Music Center 0
Abuja:
Kumetokea mapigano makali kati ya vikosi vya usalama vya Nigeria na waumini wa dini ya kiislamu wenye imani kali ambayo yamesababisha vifo vya watu 38 katika jimbo la Bauchi.
Mkuu wa jeshi la polisi nchini humo, Atiku Kafur, ameliambia gazeti moja la nchini humo kwamba, mapigano hayo yalianza baada ya kiongozi wa dhehebu la Kalo Kato, Malam Badamasi, kukasirishwa na tetesi kwamba mmoja wa wafuasi wake alikuwa akifanya vitendo vya kishirikina dhidi yake.
Katika kujibu tetesi hizo, kiongozi huyo alianzisha mahubiri ya hadhara ambayo yaliwaudhi baadhi ya watu na hivyo kuzusha machafuko.
Wakati huo huo, polisi ya nchi hiyo inatarajia kuwa na mkutano na vyombo vya habari juu ya uchunguzi wa kesi ya Umar Farouk Abdul Muttallib, ambaye alifanya jaribio la kuiripua ndege ya abiria iliyokuwa inaelekea Detroit, Marekani, wakati wa sikukuu ya Krismas.
Ujerumani yaimarisha usalama katika viwanja vya ndege
Gospel Music Center 0
Berlin:
Ujerumani imeimarisha zaidi usalama katika viwanja vya ndege, ambapo maafisa wameongeza ukaguzi wa abiria na mizigo yao.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani amesema maafisa wa usalama wana dhamana kubwa kufuatia taarifa ya kundi la kigaidi la Al Qaeda kuhusika katika njama zilizoshindwa za kuripua ndege ya abiria nchini Marekani wakati wa sikukuu ya Krismasi.
Katika taarifa hiyo iliyochapishwa katika tovuti za kiislamu, kundi hilo limesema kuwa lilimpa kijana wa Kinigeria, Umar Farouk Abdul muttallib, mwenye miaka 23, kifaa cha uripuaji chenye teknolojia ya hali ya juu, ili kuiripua ndege hiyo iliyokuwa na abiria 278 ndani yake.
Pakistan yatoa wito wa utulivu baada ya machafuko ya usiku
Gospel Music Center 0
Karachi:
Maafisa nchini Pakistan wametoa wito wa utulivu kwa wananchi wake baada ya machafuko ya jana usiku katika jiji la Karachi.
Maandamano yaliyosambaa sehemu kubwa yalizuka baada ya bomu la kujitoa mhanga kuua watu 40 katika maandamano ya Waislam wa madhehebu ya Shia hapo jana.
Waombolezaji wenye hasira kali walichoma moto soko na mamia ya maduka katikati ya jiji hilo.
Hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na bomu hilo la kujitolea mhanga, ambalo limekuja wakati wa hatua kali za kiusalama zinazochukuliwa dhidi ya wanamgambo wa Taliban.
Netanyahu akutana na Rais Hosni Mubarak wa Misri
Gospel Music Center 0
Cairo:
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamini Netanyahu, amekutana na Rais Hosni Mubarak wa Misri mjini Cairo hii leo juu ya juhudi za Marekani za kutaka kuendelea kwa mazungumzo ya amani Mashariki ya Kati yaliyokwama karibu mwaka mmoja sasa.
Hata hivyo, hakuna kiongozi yoyote kati yao aliyezungumza na vyombo vya habari baada mkutano huo, lakini ofisi ya Netanyahu imesema mazungumzo yalikuwa mazito na ya kirafiki.
Ofisi hiyo ilisema viongozi hao walijadiliana namna ya kuanzisha mchakato wa amani na Wapalestina, na juhudi za kumrudisha Gilad Shalit, mwanajeshi wa Israel aliyetekwa na wanamgambo wa Gaza miaka mitatu na nusu iliyopita.
Marekani imekuwa ikiandika barua kwa Israel na Wapelestina ikishadidia kwamba itakuwa mdhamini na kuchukua jukumu la kuanzishwa mazungumzo ambayo mwisho wake yatapelekea kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina.
Iran yakataa kuziachia maiti za watu watano waliouawa
Gospel Music Center 0
Inaaminika kuwa miongoni mwa miili hiyo ni pamoja na waziri wa zamani wa mambo ya nje na mpwa wa kiongozi wa upinzani, Mir Houssen Moussavi.
Serikali imesema inataka kuzifanyia uchunguzi maiti hizo, lakini upinzani unaaamini kwamba
Wakati huo huo
Urusi kujenga mfumo wa mashambulizi ya makombora
Gospel Music Center 0
Urusi imesema imedhamiria kujenga mpango wa mfumo wa mashambulizi ya makombora ili kukabiliana na mpango wa Marekani wa kinga dhidi ya makombora.
Waziri Mkuu wa Urusi, Vladmir Putin, alitoa tangazo hilo wakati wa ziara yake katika mji wa Vladivostok uliopo Mashariki ya Mbali ya nchi hiyo.
Mnamo mwezi Septemba, Rais Barack Obama wa Marekani aliufuta mpango wa Marekani ulioanzishwa na mtangulizi wake, George W. Bush, wa kujenga mfumo wa kujikinga dhidi ya makombora kutoka Iran katika nchi za Poland na Jamhuri ya Czech.
Putin alisema mpango wa Marekani wa ujenzi wa mfumo wa kujikinga na makombora ulikuwa ni kikwazo kikubwa katika mpango wa nchi hizo wa kupunguza silaha za nyuklia.
Maharamia wa Somalia wateka meli mbili
Gospel Music Center 0
Maharamia wa
Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Abdul Rahman Jangeli, amesema uharamia huo ni wa kupangwa.
Makundi hayo yamejikusanyia mamilioni ya dola kutokana na kuteka meli katika Ghuba ya
Uhohe hahe wa wasanii umewatajirisha Wadosi
Gospel Music Center 0
Uhohe hahe wa wasanii umewatajirisha Wadosi
Gospel Music Center 0
Wizi huo umeshamili vilivyo katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Mwanza na mikoa mingine iliyompakani mwa nchi za
Alisema kuwa hali hiyo inatokana na kutokuwa na sheria za kulinda na kutetea vema kazi za wasanii hapa nchini. Kwa mfano miaka ya hivi karibuni, COSOTA ilifanikiwa kukikamata kiwanda cha kuzalisha nyimbo za wasanii mbalimbali eneo la Buguruni Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam, lakini cha kushangaza mtuhumiwa huyo alilipa faini ya 200,000 tu ambayo hailingani na gharama ambazo wamiliki wa kazi hizo waligharamia katika kuzitengeneza.
SIFA FM, redio ya Kikristo nchini Kenya.
Gospel Music Center 0
Uchaguzi 2010: Maaskofu watoa ujumbe mzito
Gospel Music Center 0
MALASUSA ADAI VIONGOZI WANG’ANG’ANIZI WATABAINIKA
Mr.Nice kweli ameokoka?
Gospel Music Center 0
Kumekuwa na maswali mengi juu ya wokovu wa aliyekuwa mkali wa sataili ya Takeu Mr.Lucas Mkenda (Mr.Nice ) kukaa kimya baada ya kudaiwa kuokoka na kutaka kufyatua albamu yake ya kwanza ya nyimbo za injili. Hivi karibuni, Mr.Nice alipanda jukwaani na kuimba nyimbo za kumtukuza Mungu katika huduma ya Ngurumo za Upako iliyopo Arusha. Wemgi wanauliza, kama kweli kaokoka mbona yupo kimya tofauti na walivyookoka akina Cosmas Chidumule, Mzee Makas ambao nao kwa sasa ni waimbaji wa Nyimbo za injili.(Picha kwa hisani ya Ngurumo ya Upako)
Mr.Nice kweli ameokoka?
Gospel Music Center 0
Kumekuwa na maswali mengi juu ya wokovu wa aliyekuwa mkali wa sataili ya Takeu Mr.Lucas Mkenda (Mr.Nice ) kukaa kimya baada ya kudaiwa kuokoka na kutaka kufyatua albamu yake ya kwanza ya nyimbo za injili. Hivi karibuni, Mr.Nice alipanda jukwaani na kuimba nyimbo za kumtukuza Mungu katika huduma ya Ngurumo za Upako iliyopo Arusha. Wemgi wanauliza, kama kweli kaokoka mbona yupo kimya tofauti na walivyookoka akina Cosmas Chidumule, Mzee Makas ambao nao kwa sasa ni waimbaji wa Nyimbo za injili.
WALIOTEMBELEA BLOG HII
TUMA HABARI NA MATUKIO
KAMA UNA HABARI NA MATUKIO MBALIMBALI POPOTE DUNIANI TUMA KWA EMAIL HII. productiongmk@gmail.com. NAMI NITAZIWEKA KWENYE BLOG HII BILA GHARAMA YOYOTE. NAKARIBISHA HABARI ZA MATAMASHA YA INJILI, MIKUTANO, RATIBA ZA MAKANISA, SEMINA, HARUSI NA MAMBO MBALIMBALI KWA AJILI YA KUWAJULISHA WANAULIMWENGU. WASILIANA NAMI KWA NAMBA ZIFUATAZO.
+255 712 001 880,
+255 755 240 136.
HABARI MUHIMU
-
Wapendwa katika Yesu Kristo leo nimefanikiwa tena kukutana na muimbaji wa muziki wa Injili nchini anayekwenda kwa jina la Upendo Nkone ambay...
-
Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Efatha Ministries anayetikisa jijini la Dar es salaam na amejikusanyi waumini wengi kiasi kwamba huduma...
-
Aliyekuwa muimbaji mahiri wa muziki wa injili nchini Fanuel Sedekia alizikwa Januari 10 mkoani Arusha baada ya kufariki dunia usikua wa kua...
-
Nivigumu kuamini lakini ukweli ni huo kwamba, mtoto mmoja wa miaka 10, Anna Msingwa aliyezaliwa akiwa kipofu ameanza kuona huku Iringa, kwa...
-
Hakuna asiyeelewa kwamba mkoa wa Mbeya ni mkoa ambao umekuwa ukitoa waimbaji mahiri wa muziki wa injili wenye tungo ambazo msikilizaji wa ny...
-
Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini Kenya , Solomon Mukubwa leo (Jumamosi) anafunga pingu za maisha na Bi. Betyy katika kanisa moja la Kir...
-
Ndoa ni nini? Ndoa ni muungano wa mwanaume na mwanamke unaokubalika kiutamaduni na kidini ambao unatarajiwa kudumu, kuwapa haki sawa za kiji...
-
Kwa wapenzi wa muziki wa injili nchini, jina la Shusho si jina geni masikioni mwao kutokana na umahiri wa kutumia kipawa cha uimbaji cha mwa...
-
Baraka akiwa na mwanaye Deliver akiwa nyumbani kwake mkoani Mbeya Deliver Baraka akiwa katika pozi safi Deliver Baraka ...
-
Baada ya kukaa kimpya kwa muda mrefu bila kutoa albam mpya na kupelekea baadhi ya wadau wa muziki wa Injili kuhoji uwepo wa Bony Mwaitege ka...
Categories
- George Kayala (23)
- George Kayala. (6)
- Kabula John George (1)











