Thursday, October 13, 2011

Rose Muhando apata pigo







Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini Rose Muhando amepata pigo baada ya kufiwa na dada yake Salma Muhando usiku wa kuamkia leo na msiba uko nyumbani wako Tanga, Kilindi. Wadau wote wa Rose tuko naye katika hali hii ya majonzi na Mungu ailaze mahala pema pepo roho ya marehemu, kwani Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Amen.

1 comments:

Anonymous said...

Bwana asifiwe

Dada Rose Muhando poleni sana jamaa mzima kwa mushiba iyo yote kwa mapenzi ya Mungu zaidi nikushukuru tu Mungu wetu

Monga