LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

CHRISTINA SHUSHO KWA NINI ANANG’ARA ZAIDI KENYA KULIKO WAIMBAJI WENGINE?

Mwimbaji wa muziki wa injili nchini Christina Shusho nyota yake inaonekana kung’ara zaidi nchini Kenya kuliko waimbaji wengine wakubwa kama Bahati Bukuku, Bony Mwaitege, Upendo Nkone, Rose Muhando na wengine wengi.
Mara kwa mara mwimbaji huyo amekuwa akitwaa tuzo ambazo huendeshwa nchini humu. Mfano mwaka huu mwanzoni aliibuka tena kidedea kwenye tuzo za groove zinazotolewa kila mwaka nchini Kenya kupitia kipengele cha mwanamuziki bora wa mwaka kutoka Tanzania tuzo ambayo alishinda mwaka jana akiwapita waimbaji wenzake waliopendekezwa kwenye kipengele hicho akiwemo Rose Muhando,Bahati Bukuku,Neema Mwaipopo pamoja na Boniface Mwaitege.
Kwa Mara Ya Pili Mfululilzo katika Category ya Wanamuziki Kutoka Tanzania, Christina Shusho ametamba tena kwa kutwaa tuzo hizo.  Ikumbukwe Mwaka jana 2011 Mwanamuziki Christina Shusho alitwaa tuzo hizo hizo katika Category hiyo hiyo.
Swali, ni staili ya nyimbo anazoimba ama upako wake umekubalika zaidi pande hizo? Maoni yako yatanipa nafasi ya kumuuliza mtumishi huyo wa Mungu.

Newer Post Older Post