LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

PETER BANZI MWIMBA INJILI ANAYEKUJA NA STAILI YA HIP HOP GOSPEL

Muonekano wa kava
Ninja wa Yesu
Yawezekana likawa jina geni kwako lakini ni mwimbaji wa siku nyingi anayemtumikia Mungu kwa kuhubiri neno lake kwa njia ya nyimbo za injili kwa staili ya Hip Hop Gospel. Anajulikana kwa  jina la Peter Banzi  alimaarufu kwa  jina la Ninja wa Yesu ameokoka na anampenda Yesu.

Ameanzaa muziki tangu  mwaka 1994  akiwa shuleni  ya msingi akiimba katika kwaya ya watoto wa  kanisa  Katoliki  usharika wa  Iwambi  mkoani Mbeya.

Amefanikiwa kukamilisha albamu yake ya kwanza aliyoipa jina la ‘Sunday’ yenye  nyimbo 13 zenye radha tofauti  kama Hip Hop Gospo,Dansor,
 na aina tofautii ya ladha ya mzingi ambayo ni ngeni masikioni  mwa watu wengi.

Ukifanikiwa kuipata albamu hiyo naamini hutachola kuisikiliza kwani ujumbe wa nyimbo hizo ni mzito na unamguso wa hali ya juu.

Wimbo wake wa  kwanza kuachia ulikuwa Mfaliji wa Moyo ikiwa na miondoko ya hip hop na  ilifanya vizuri sana na kushika katika vituo mbalimbali vya redio za dini.

Wimbo wake mwingine ulikuwa unaitwa Bwana Usiniache ambao nao uliwagusa sana wadau wa muziki wa injili na mpaka sasa unafanya vizuri.

Mwimbaji huyo ametoa wito kwa vijana wenzake kujituma katika kumtumikia Mungu kwani hakuna maisha tamu kama  ya kumpa Mungu utukufu kwa kumtegemea yeye kwa kila jambo. Ninjaa wa Yesu ni kijana mtanashati na swaga kibaoo za kumtukuza Mungu anayempigania kila iitwapo leo. Amewataka vijana wenzake wenye swagga kama yeye kuzielekeza kwa Yesu.

Hivi karibuni atatoa video yake iitwayo ‘Umenitowa Chini Umeniweka Juu’.

Newer Post Older Post