LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Mjue Kabula J.George



Kuna siri kubwa katika uimbaji, ni zaidi ya kusikiliza ala za muziki na sauti nzuri ya muimbaji, Uimbaji unaomgusa Mungu lazima utawagusa na watu pia, watu wataokoka, wataponywa na watagangwa mioyo yao kupitia uimbaji.

Ni imani yangu kuwa mwimbaji bora wa nyimbo za injili ni yule kwanza awe ameokoka kweli na mwenye lengo kweli la kuwafikia watu wa Mungu au wa mataifa katika kuwapa neno la Mungu na kuwaasa waache anasa na si kwa lengo lingine lolote hapo liwe la kufanya biashara au kujulikana kwa watu.

Mwimbaji wa muziki wa injili Kabula John George ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi hiyo kupitia kipawa chake alichopewa na Mungu. Tayari amefafanikiwa kutoa albam ya nyimbo za injili inayojulikana kwa jina PESA na inasambaza na Mam Store.

Watu wengi wamezipenda nyimbo zake kutokana na ujumbe mzuri uliomo na radio mbali mbali za kidini zinacheza nyimbo hizo. Radio ambazo kwa sasa zinapinga nyimbo za dada Kabula ni Wapo Radio, Prise Power zote za Dar es Salaam, Radio Safina ya Arusha na Radio Sauti ya Injili Moshi.

Kabula ambaye kwa wanamuita "Mama Pesa" kutokana na wimbo wake wa PESA aliouimba kwa mahadhi ya zuku anatoa huduma mbalimbali katika makanisa ya mkoa wa Dar es Salaam na yupo tayari kutoa huduma hiyo ndani na nje ya mkoa wa Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na nje ya nchi.

Mwimbaji huyo amekuwa akiwagusa watu wengi wanaozisikiliza nyimbo zake hizo na wamekuwa wakimwalika katika mikutano mbalimbali kwa ajili ya kutoa huduma hiyo ya kuhubiri neno la Mungu kwa njia ya Uimbaji.

Dada Kabula anawakaribisha watumishi wote wa Mungu kumwalika katika semina, mikutano, makongamano n.k kwa ajili ya kulitangaza neno la Mungu wetu kupitia huduma hiyo ya uimbaji.

Nyimbo zilizo katika albam hiyo ni

1.Milele

2.Pesa

3.Ninamjua

4.Nkomoji (wimbo wa Kisumuma)

5.Tanzania

6.Tunakulilia

7.Yatima

. Nakupa utuku na

. Niguse.

Mwimbaji huyo kwa sasa anajiandaa na kurekodi mkanda wa video wa albam hiyo ambayo inatarajiwa kukamilika muda wowote kuanzia sasa.

Kwa mawasiliano zaidi mpigie simu no:- 0757- 140 336 au 0755 – 240 136

Ama kwa njia ya Email- kabulageorge@yahoo.com

Yupo tayari kufanya nawe huduma mahala popote pale kwa lengo la kumtangaza Mungu.

Newer Post