NJOO UDURUFU KAZI YAKO GMK PRODUCTION UPATE NAFASI YA KUTANGAZWA BURE KWENYE MAGAZETI
GMK PRODUCTION INAJISHUGHULISHA NA UZALISHAJI WA CD, DVD NA VCD KWA GHARAMA NAFUU KABISA KISHA KAZI YAKO TUNAIFANYIA PROMOTION KWENYE MAGAZETI MBALIMBALI HAPA NCHINI NA MTANDAO HUU. PIA UTAPATA FURSA YA KUWEKA MATUKIO YAKO KWENYE MTANDAO HUU POPOTE ULIPO BILA MALIPO YOYOTE. WENGI WAMEFAIDIKA. TUNATENGENEZA PIA MAKAVA KWA GHARAMA NAFUU. HAWA NI BAADHI YA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI AMBAO KAZI ZAO WAMETENGENEZEA KWETU. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA +255 712 001 880, +255 755 240 136, +255 788 240 136. EMAIL: productiongmk@gmil.com
ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.
IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404
JIPATIE DVD YA NITANG'ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE
WASILIANA NA MWINJILISTI KABULA GEORGE KWA AJILI YA HUDUMA YA UIMBAJI PAMOJA NA KUHUBIRI NDANI NA NJE YA NCHI KWA SIMU HIZI.
AMA EMAIL: kabulageorge@yahoo.com
+255658140336
+255757140336
MUNGU AWABARIKI.
TUMA HABARI NA MATUKIO
KAMA UNA HABARI NA MATUKIO MBALIMBALI POPOTE DUNIANI TUMA KWA EMAIL HII. productiongmk@gmail.com. NAMI NITAZIWEKA KWENYE BLOG HII BILA GHARAMA YOYOTE. NAKARIBISHA HABARI ZA MATAMASHA YA INJILI, MIKUTANO, RATIBA ZA MAKANISA, SEMINA, HARUSI NA MAMBO MBALIMBALI KWA AJILI YA KUWAJULISHA WANAULIMWENGU. WASILIANA NAMI KWA NAMBA ZIFUATAZO.
+255 712 001 880,
+255 755 240 136.
HABARI MUHIMU
-
Wapendwa katika Yesu Kristo leo nimefanikiwa tena kukutana na muimbaji wa muziki wa Injili nchini anayekwenda kwa jina la Upendo Nkone ambay...
-
Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Efatha Ministries anayetikisa jijini la Dar es salaam na amejikusanyi waumini wengi kiasi kwamba huduma...
-
Aliyekuwa muimbaji mahiri wa muziki wa injili nchini Fanuel Sedekia alizikwa Januari 10 mkoani Arusha baada ya kufariki dunia usikua wa ku...
-
Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini Kenya , Solomon Mukubwa leo (Jumamosi) anafunga pingu za maisha na Bi. Betyy katika kanisa moja la Kir...
-
Kwa wapenzi wa muziki wa injili nchini, jina la Shusho si jina geni masikioni mwao kutokana na umahiri wa kutumia kipawa cha uimbaji cha mwa...
-
Wapendwa wasomaji wa blog nzuri ambayo imekuwa ikielezea maisha na kazi za waimbaji wa muziki wa injili nchini leo ninaye Frola Mbasha am...
-
Baada ya kukaa kimpya kwa muda mrefu bila kutoa albam mpya na kupelekea baadhi ya wadau wa muziki wa Injili kuhoji uwepo wa Bony Mwaitege ka...
-
Hakuna asiyeelewa kwamba mkoa wa Mbeya ni mkoa ambao umekuwa ukitoa waimbaji mahiri wa muziki wa injili wenye tungo ambazo msikilizaji wa n...
-
Ukimya wa muimbaji wa muziki wa Injili nchini aliyefanikiwa kuiteka Afrika Mashariki, Bony Mwaitege na wimbo wake wa ‘Utanitambaje kama ni...
Categories
- George Kayala (7)
- George Kayala. (6)
- Kabula John George (1)


12 Responses to “Nabii Josephat Mwingira wa Efatha Ministries”
mimi naitwa Eliza Mapunda nauguliwa na mama yangu amepooaza sehemu au upande wa kulia wa mwili wote naomba umuombee apone katika jina la yesu kristo.
Mungu anamtumia kwa jinsi ya ajabu sana...ni vizuri watanzania tukawapa support saa nyingine kufanya kazi pamoja na hao waliotumwa na Mungu ili tuondoke ktk laana tumezoea kuwasema vibaya wakati huo hali inapokuwa ngumu tunakimbilia kwao kuombewa..tubadirike tuwaombee Mungu azidi kuwatumia hasa kwa wale wanaosafiri kuzunguka mikoani ambako ndg zetu wako...Mungu akubariki Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira..Nakupenda sana.....Mimi mwanao Adam
Mungu anamtumia kwa jinsi ya ajabu sana...ni vizuri watanzania tukawapa support saa nyingine kufanya kazi pamoja na hao waliotumwa na Mungu ili tuondoke ktk laana tumezoea kuwasema vibaya wakati huo hali inapokuwa ngumu tunakimbilia kwao kuombewa..tubadirike tuwaombee Mungu azidi kuwatumia hasa kwa wale wanaosafiri kuzunguka mikoani ambako ndg zetu wako...Mungu akubariki Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira..Nakupenda sana.....Mimi mwanao Adam
Mungu anamtumia kwa jinsi ya ajabu sana...ni vizuri watanzania tukawapa support saa nyingine kufanya kazi pamoja na hao waliotumwa na Mungu ili tuondoke ktk laana tumezoea kuwasema vibaya wakati huo hali inapokuwa ngumu tunakimbilia kwao kuombewa..tubadirike tuwaombee Mungu azidi kuwatumia hasa kwa wale wanaosafiri kuzunguka mikoani ambako ndg zetu wako...Mungu akubariki Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira..Nakupenda sana.....Mimi mwanao Adam
sisi wanao JESKA na DENIS KAGANZI tunakupenda sana
Naipenda ephat sana,naipenda trinity Tv, mungu awabariki sana. Naomba maombi yenu yanifungue kutoka katika kifungo cha dini. Kwa kupitia mume wangu, siruhusiwi kabisa kuja hapo kanisani. Naomba maombi yenu. Naamini siku moja ataachana na dini
na atajua neno nalo litamweka huru amina.
kitu chochote kilichoanzishwa na mungu huushinda ulimwengu,huduma yake ni ya mungu thats why inakua kwa kasi na haichuji watu wengi wanapokea uponyaji wa ukweli,wanaishia kubaki hapohapo waendelee kuona baraka,good job,servant mwingira.naitwa salome nathan.
Tuna kila sababu ya kuwaombea watumishi wa Mungu hasa Mtume na Nabii Josepahat Elias Mwingira kwa kazi kubwa anayoifanya maana watu wa Mungu wanateseka kwa matatizo mbalimbali lakini kwa huduma ya Efatha wanapona na kufunguliwa.Mungu akubariki na akutie nguvu Mtume Josephat Mwingira katika huduma hii.
Espagrain Bakuna
shalom: NABII WA MUNG; E.J. MWINGILA
napenda kuwaeleza wenzangu na watanzania wote kuwa kwakweli mtumishi Nabii E.J. MWINGILA ndie aliye tumwa na mungu kwani kuna vitu mpaka huwezi kuvielezea kwani kuponywa wangonjwa na hata program zake alizo nazo si jawahi ziona tangu nimeanza kusali katka kanisa hili mungu akupe kujua mengi zaidi kuhusu ufunuo zaidi uweze kututoa na kutuefatha watanzania na kujua kusudi la NABII E.J.MWINGILA alilo pewa kwaajili yetu. ...mwenzangu mimi nakfurahia na kila unapo simama napokea ipo siku watanzania watajua umebeba kusudi kubwa sana kwaanili yetu....
mwah!!!!!!!!!!!!!!!!!
shalom: NABII WA MUNG; E.J. MWINGILA
napenda kuwaeleza wenzangu na watanzania wote kuwa kwakweli mtumishi Nabii E.J. MWINGILA ndie aliye tumwa na mungu kwani kuna vitu mpaka huwezi kuvielezea kwani kuponywa wangonjwa na hata program zake alizo nazo si jawahi ziona tangu nimeanza kusali katka kanisa hili mungu akupe kujua mengi zaidi kuhusu ufunuo zaidi uweze kututoa na kutuefatha watanzania na kujua kusudi la NABII E.J.MWINGILA alilo pewa kwaajili yetu. ...mwenzangu mimi nakfurahia na kila unapo simama napokea ipo siku watanzania watajua umebeba kusudi kubwa sana kwaaj
ili yetu....
mwah!!!!!!!!!!!!!!!!!
Shaloom Mtumishi wa Mungu, Mungu akutie nguvu kwa ajili ya USIKU WA EFATHA tunatamani kuona akikutumia tena kama mwaka jana na hata zaidi ya hapo.Efatha tunakupenda sana......its me your daughter Jesca K.
dutworga gbyclMimi ni mama wa watoto wawili Bwana yesu apewe sifa. Mtumishi wa mungu naomba muniombee sana kwni ninafungwa katika dini, kupitia mume wangu. Naipenda efhata, naipenda trinity. Imani yangu siku moja atafunguka kwa maombi yenu tu si kwa dini yake. Siruhusiwi kabisa kuja hapo. ninaomba kupitia tv tu. Mungu awabariki sana na kuwapa nguvu zaidi ya kuukomboa ulimwengu na Tanzania .asante
Post a Comment