LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

HAKUNA MUWEZA - KABULA J.GEORGE

Ninani mwenye uwezo kama wa Mungu? Pengine wewe ni miongoni mwa watu wanaopitia majaribu magumu kiasi kwamba unatamani kujiua kutokana na kuona huna tena msaada baada ya kuhangaika huku na kule. Yawezekana umeenda kwa waganga wa kienyeji, umetafuta msaada kila kona hajafanikiwa, lakini leo nakuambia kuwa, matatizo unayopitia ukimkabizi Jehova sasa hivi hutakuwa kama ulivyoamka asubuhi. Nijambo gani lililogumu kisia kwamba Mungu ashindwe kukusaidia? Hakuna. Sasa ungana na Mtumishi wa Mungu Kabula katika wimbo wake wa HAKUNA MUWEZA. Urudie mara nne kwa makini kisha liangalie  tatizo lako kama litaendelea kukusumbua ukisha fahamu uweza wa Mungu.

Newer Post Older Post

One Response to “HAKUNA MUWEZA - KABULA J.GEORGE”

Anonymous said...

I give GOD the glory, honor and praise for the wonderful work is doing through KABULA music.

For sure whenever she sing the song of hakuna muweza and dhihirisha my heart is flooded with joy and happiness, with this message let The name of JESUS be praise, sister keep it up.

Youth Pastor Nelson Sinko