LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Kumbukumbu ya Tsunami miaka 5

ACEH, INDEONESIA
Raia wa jimbo la Aceh nchini Indonesia wametenga leo kuwa siku ya maombi, kuwakumbuka wahanga wa janga la Tsunami lililokumba bara Asia miaka mitano iliyopita. Kiasi cha watu elfu 200 waliuawa, na mabilioni ya mali kuteketezwa. Eneo la Aceh, huko Indonesia ndilo lililoathirika zaidi, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililosababisha Tsunami Desemba tarehe 26 mwaka wa 2004. India, Sri Lanka na Thailand ambazo pia ziliathirika, zimetenga leo kuwa siku ya maombi kama kumbukumbu ya janga hilo. Hapa nchini Ujerumani, maombi yatafanyika katika kanisa moja mjini Dusseldorf.

Newer Post Older Post