LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

SOLOMON MUKUBWA KUFUNGA PIGU ZA MAISHA KESHO


Mwimba wa muziki wa Injili nchini Kenya, Solomon Mukubwa kesho (Jumamosi) anatarajia kufunga ndoa na katika kanisa moja la Kiroho maarufu nchini humo.
Habari za uhakika ambazo TGM hii imezinyaka zinasema kuwa, Solomon amelazimika kuchukua uamuzi huo baada ya kupata umaarufu kupitia albamu yake ya Mfalme wa Amani ambayo imewakamata watu wa dini mbalimbali na kujikuta akipata msururu wa mademu waliokuwa wanajigongesha kwake.
“Jamaa Jumamosi (kesho) anaoa lengo ikiwa ni kujizuia na majaribu ya kuanguka kwenye uasherati, kwani baada ya kupata umaarufu kupitia albamu yake ya Mfalme wa Amani mademu kibao wamekuwa wakipanga mstari kutaka kampani yake,” kilisema chanzo cha udaku huu. (Picha kwa hisani ya blogo ya Jiachie)

Newer Post Older Post