LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

BAADHI YA MATUKIO YANAYOONEKANA KATIKA ALBAMU YA MNYAMA KOBE

Baadhi ya waimbaji wa Mtumishi wa Mumngu Lukamaja Masunga wakiimba kwa hisia kali wimbo wa kuabudu. Picha ya pili ni mke wa Lukamaja (Glory) akiwa ni miongoni mwa waimbaji wanaomwabudu Mungu. Picha ya tatu kwenda chini ni Mama Lukamaja akimwabudu Mungu kwa njia ya uimbaji. Picha ya nne, kutoka kushoto ni Mama Lukamaja akicheza moja kati ya nyimbo zilizosheheni katika albamu ya Mnyama Kobe. Picha ya tano ni watumishi wa Mungu licha ya kuwa ni wadogo lakini wako makini na huduma ya kumwimbia Mungu wetu. Picha ya sita ni Lukamaja Masunga akimtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji. Pata nakala yako sasa ili ufaidi kilichomo ndani yake. Ni nzuri kiasi kwamba nashindwa kuelezea, inapatikana madukani nchi nzima. Picha hizi zinapatikana kwenye DVD,VVD na VSH.




Newer Post Older Post