LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

HUYU NDIYE MNYAMA KOBE ANAYEULIZWA SWALI NA LUKAMAJA KATIKA ALBAMU YAKE YA MNYAMA KOBE, PATA NAKALA YAKO ILI UJUE UKWELI WA MAMBO


Kombe huyu anasadikika kuwa na umri wa miaka 300, anauwezo wa kumbeba mwanadamu bila shida yoyote.


Lukamaja akimuuliza swali mnyama kombe, swali ganai hilo? Pata nakala yako sasa.


Licha ya kwamba kombe hakuwa na jibu la kumjibu Lukamaja, lakini yeye hakuchoka kuuliza pamoja na kwamba aliamua kuondoka alipokuwa amesimama.


Alifikiri Kombe alikuwa halisikii vema swali alilokuwa anaulizwa, akaamua kuinama ili kumpa jibu.


Lukamaja hakuchoka kumuuliza swali Mnyama kombe mpaka ajibu swali lake, aliendelea kumfuata kila alikoelekea.


Alipoona anaendelea kwenda kusikojulikana bila kujibu swali aliloulizwa, aliamua kumbeba ili ampe jibu lake. Je Lukamaja alipewa jibu lake? Pata nakala yako sasa inayopatikana madukani nchi nzima kwa jina la Mnyama Kobe.


Baada ya kazi nzito ya kumuuliza swali mnyama kobe, Lukamaja na mkewe waliamua kukaa mezani na kupata chakula kabla ya kuendelea na shughuli nyingine za kumtukuza Mungu.


Jamani kumwimbia Mungu kuna baraka tosha, ona watumishi hawa wanavyokula chakula kwa upendo.


Prosper Lukamaja naye hakuwa nyumba katika kuhakikisha anapata mlo safi  baada ya kazi ngumu ya kumuimbia Mungu.

Newer Post Older Post