LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

30 wauwawa na bomu la kujitoa muhanga.

Karachi.
Mshambuliaji wa kujitoa muhanga ameshambulia mlolongo wa Waislamu wa madhehebu ya Kishia katika mji mkubwa nchini Pakistan wa Karachi na kuuwa watu 30. Kiasi watu 60 pia wamejeruhiwa. Watu walioshuhudia wamesema kuwa watu wawili ama watatu waliingia katika kundi la watu wapatao 50,000 waliokuwa wakishiriki katika maandamano ya Ashura na kulipua bomu lililokuwa limefungiwa mwilini. Mlipuko huo baadaye ulizusha ghasia mjini Karachi, mji wa kibiashara, ambapo watu wenye hasira walifanya ghasia. Lilikuwa ni shambulio la tatu dhidi ya sherehe hizo za Ashura nchini Pakistan mwaka huu. Siku ya Jumapili mshambuliaji wa kujitoa muhanga alishambulia msikiti wa Washia katika eneo linalomilikiwa na Pakistan la Kashmir na kuuwa watu saba. Bomu liliwajeruhi watu 17 mjini Karachi siku hiyo hiyo. Washia ni kiasi cha asilimia 20 ya jumla ya watu nchini Pakistan ambapo Wasunni ni wengi zaidi miongoni mwa watu milioni 167 nchini humo.

Newer Post Older Post