LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Muingereza kunyongwa China

Beijing.
Muda unakaribia kufikia mwisho kwa mtu mmoja raia wa Uingereza anayekabiliwa na hukumu ya kunyongwa nchini China. Akmal Shaikh mwenye umri wa miaka 53 alikamatwa Septemba 2007 mjini Urumqi magharibi mwa China akiwa na kilo nne za madawa ya kulevywa katika mzigo wake. Alihukumiwa kifo mwaka jana , Shaikh ameshindwa katika rufaa yake ya mwisho katika mahakama kuu mwezi huu. Waungaji wake mkono wanadai kuwa baba huyo mwenye watoto watatu ni mgonjwa wa akili, utetezi ambao hauna uzito wa kutosha kwa mujibu wa sheria za China. Hukumu ya kifo inatolewa kwa makosa kadha nchini humo na hutekelezwa mara zote. Mwaka jana kiasi cha zaidi ya watu 1,700 wamenyongwa.

Newer Post Older Post