LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Al Qaeda yadai kuhusika na jaribio lililoshindwa.

Washington.
Tawi la kimkoa la kundi la kigaidi la al-Qaeda, limetoa taarifa katika tovuti yake likidai kuhusika katika jaribio lililoshinda dhidi ya ndege ya abiria ya Marekani Desemba 25. Al Qaeda katika ghuba ya Arabia ama kama linavyojulikana kama AQAP, limesema kuwa mtuhumiwa, Umar Farouk Abdulmutallab alijaribu kuilipua ndege ya shirika la ndege la Northwest iliyokuwa imebeba watu 278 kulipiza kisasi kwa mashambulio ya majeshi ya Marekani dhidi ya kundi hilo nchini Yemen. Taarifa hiyo iliyotolewa katika tovuti kadha za Kiislamu imesema kuwa kundi hilo lilimpatia mtuhumiwa huyo wa Kinigeria mwenye umri wa miaka 23 kifaa kilichotengenezwa kwa ufundi wa hali ya juu, lakini kilishindwa kulipuka kutokana na matatizo ya kiufundi na kuwaonya Wamarekani kuwa watashambuliwa zaidi.

Newer Post Older Post