LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Askofu wa Zambia avuliwa uaskofu


Aliyekuwa kiongozi wa kanisa Katoliki nchini Zambia, Askofu Mkuu Emmanuel Milingo, 79, amenyang'anywa mamlaka ya uaskofu na Vatican.

Alitengwa mwaka 2006 kwa kuoa na kujaribu kuwatawaza mapadri wanne na kuwa maaskofu.

Kanisa hilo limesema inabidi kuchukua hatua za ziada kutokana na uamuzi wake wa kuwatawaza baadhi ya mapadri mwezi Julai, jambo ambalo hufanywa na Papa peke yake.

Paul Samasumo, msemaji wa kanisa Katoliki la Zambia ameiambia BBC, "Amevuliwa wadhifa wa uaskofu na anaitwa Bw Milingo."

Mwaka 2001, Bw Milingo alimwoa mtaalamu wa kupiga chuku yaani 'acupuncturist' ambaye ni raia wa Korea ya Kusini mjini New York, Marekani.

Newer Post Older Post