LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

EU yaitaka Israel kuangalia upya mradi wa nyumba.

Brussels.
Umoja wa Ulaya na Marekani zimepinga mipango ya Israel ya kujenga nyumba 700 katika eneo la Jerusalem ya mashariki. Katika taarifa, umoja wa Ulaya umeutaja ujenzi wa nyumba hizo kuwa ni kinyume na sheria chini ya sheria za kimataifa, wakati msemaji wa ikulu ya Marekani Robert Gibbs ameieleza mipango hiyo kuwa ni kitisho kwa amani ya eneo hilo. Wapalestina wanataka kulifanya eneo la Jerusalem ya mashariki kuwa mji wao mkuu wa taifa wanaloahidiwa na wanaungwa mkono na jumuiya ya kimataifa pamoja na umoja wa Ulaya. Israel wakati huo huo imesema mji wote wa Jerusalem ni mali ya taifa la Kiyahudi na imekataa miito ya kusitisha ujenzi wa makaazi katika eneo la mashariki inalolikalia.

Newer Post Older Post