LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Westerwelle asema Ujerumani itasusia mkutano wa Afghanistan.

Berlin.
Waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani Guido Westerwelle, amesema kuwa atasusia mkutano wa kimataifa kuhusu Afghanistan, iwapo mkutano huo hautaangalia juhudi za ujenzi wa kiraia. Westerwelle ameliambia gazeti la kila wiki nchini Ujerumani la Stern kuwa iwapo mkutano huo utakaofanyika mwezi Januari mjini London utakuwa tu kuhusu kuchangia majeshi zaidi kwa ajili ya Afghanistan, Ujerumani haitashiriki. Hata hivyo, Westerwelle amerudia maelezo rasmi ya serikali kuwa itaangalia juu ya kuchangia waalimu zaidi kwa ajili ya jeshi la polisi . Kuongeza idadi ya wanajeshi wa Ujerumani nchini Afghanistan litakuwa si jambo linaloungwa mkono nchini humo.

Newer Post Older Post