LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Rose Muhando, Mukubwa kunogesha tamasha krismasi




MWIMBAJI wa nyimbo za Injili raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), anayeishi Kenya, Solom Mukubwa na Malikia ya muziki huo nchini Rose Muhando wanatarajia kulinogesha  tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika ndani ya ukimbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

Mbali na waimbaji hao ambao kwa sasa ndiyo wanaotikisa anga la muziki wa kumutukuza Mungu, watakuwepo pia Bahati Bukuku pamoja na Kundi la Upendo la Kijitonyama, Dar es Salaam ambalo mbali na kushiriki, wataadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa pamoja na kutambulisha albam yao, Jina Lako Li Hai, Upendo Nkone, na Flora Mbasha.

Siku hiyo pia Rose Muhando naye atatambulisha albamu yake ya Zawadi ya Krismas siku ya tamasha hilo iliyobeba nyimbo kama Amezaliwa Holini, Unaitwa Mbarikiwa, Nyota ya Ajabu, Hongera Kinamama, Anakuja Kwa Jina la Bwana na Eeh Bethelehemu.

Newer Post Older Post