LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Tukio jingine katika ndege iendayo Detroit.

Detroit, Marekani.
Kumekuwa na tukio jingine la kutisha katika ndege ya shirika la ndege la Northwest iliyokuwa inakwenda mjini Detroit, kiasi siku moja baada ya abiria kujaribu kulipua mlipuko katika ndege inayokwenda katika njia hiyo. Wafanyakazi wa ndege walihitaji msaada wa dharura baada ya abiria mmoja , ambaye alitumia zaidi ya saa nzima katika choo cha ndege hiyo, baada ya kuanza kutoa matusi wakati akihojiwa. Baada ya kutua, ndege ilipelekwa katika sehemu ya kando ya uwanja wa ndege wa Detroit, ambapo polisi waliondoa mizogo na kuichunguza iwapo ilikuwa na vitu vinavyotia shaka. Maafisa baadaye walimwachia mtu huyo. Kutokana na matukio hayo, mkuu wa usalama wa ndani Janet Napolitano aliwahakikishia wasafiri kuhusu hali kuwa tulivu.
Maafisa duniani wameongeza hatua za usalama katika viwanja mbali mbali vya ndege kutokana na tukio hilo la hivi karibuni.

Newer Post Older Post