LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Maporomoko ya barafu yaua 7

Roma.
Watu saba wameuwawa na maporomoko ya barafu kaskazini mwa Italia mwishoni mwa juma hili. Watalii wawili raia wa Italia siku ya Jumamosi walizikwa na maporomoko hayo ya barafu katika milima ya Alps nchini Italia, kwa mujibu wa polisi wa eneo hilo na watu wanne wafanyakazi wa kikosi cha uokozi wameuwawa katika maporomoko hayo wakati wakiwatafuta wahanga. Watalii hao wawili walipotea siku ya Jumamosi mchana wakati wakipanda milima katika jimbo la Trentino Alto Adige. Katika tukio jingine tofauti, maafisa wa kikosi cha uokozi pamoja na polisi wamesema jana Jumapili kuwa kijana mmoja wa kiume kutoka Ujerumani aliuwawa papo hapo baada ya kufunikwa na barafu wakati akifanya mchezo wa kuteleza katika barafu pamoja na kaka yake na rafiki katika milima ya Alps nchini Italia.

Newer Post Older Post