LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Bomu katika jengo la bima Ugiriki.

Athens.
Polisi wa mjini Athens wamethibitisha kuwa bomu lililipuka jana jioni katika ofisi za moja kati ya kampuni kubwa kabisa za bima nchini Ugiriki, inayomilikiwa n a benki ya taifa ya Ugiriki Ethniki Asfalistiki. Watu walioshuhudia wamesema kuwa bomu liliharibu jengo na magari lakini hakuna mtu aliyejeruhiwa. Maafisa wamelaumu makundi yanayofuata nadharia za mrengo wa shoto kwa shambulio hilo dhidi ya polisi katika miezi ya hivi karibuni kuwa wanahusika na mlipuko huo. Polisi wamesema kuwa walipata simu iliyotoa tahadhari kutoka gazeti moja dakika 15 kabla ya mlipuko huo lakini hakuna kundi ambalo limedai kuhusika.

Newer Post Older Post