LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Wauzbekistan wapiga kura.

Tashkent. Wapiga  kura  katika  taifa  la  Asia  ya  kati  la  Uzbekistan wamemiminika   katika  vituo  vya  kupigia  kura  jana Jumapili  kwa  ajili  ya  uchaguzi  wa  bunge. Kiasi  cha zaidi  ya  wapiga  kura  milioni  17  wamejiandikisha  kupiga kura  kulichagua  bunge  litakalokuwa  na  viti  150  la baraza  la  wawakilishi. Tangu  kupigwa  marufuku  kwa vyama  vya  upinzani   kushiriki  katika  siasa, wapiga  kura walikuwa  wana  nafasi  tu  ya   kumchagua  mgombea kutoka  vyama  vinne  vinavyomuunga  mkono  rais  Islam Karimov  ambaye  ameitawala  nchi  hiyo  kwa  muda  wa miongo miwili  iliyopita. Wachunguzi  wa  uchaguzi  huo kutoka   shirika  la  usalama  na  ushirikiano  katika  bara  la Ulaya   wamesema   kuwa  uchaguzi  huo  katika  jimbo hilo  la  zamani  la  iliyokuwa  Urusi  ya  zamani haukufanyika   kwa  uhuru  na  haki. Licha   ya  hali  hiyo, uchaguzi  huo  haukukumbana  na  ukosoaji  mkubwa kutoka  mataifa  ya  magharibi  kutokana  na  jukumu  la Uzbekistan  katika  juhudi  za   kuwadhibiti  Wataliban katika  nchi  jirani  ya  Afghanistan.

Newer Post Older Post