LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

George Kayala amtukuza Mugu kwa makuu aliyomtendea

Majaribu yameruhusiwa ili yatujenge kiimani. Hivi karibuni nilipatwa na jaribu zito ambalo lilinitoa katika imani moja na kunisogeza hatua nyingine. Namshukru Mungu wangu aliyekuwa upande wangu kwani binafsi nilinyamaza kimya na yeye alinipigania. Jaribu lenyewe lilikuwa la kusimamishwa kazi ghafla kwa muda wa mwezi mmoja na wiki moja baada ya kuzingiziwa jambo flani ofisini kwangu. Kabla ya kusimamishwa nilipata msukosuko mingi. Hapa namshukuru Mungu wangu kwa kunishindia suala hilo. Mtumishi wa Mungu, Askofu Nicolaus Suguye alikuwa upande wangu kwa kuniombea usiku na mchana pamoja na mchungaji Anna Suguye. Hakika Mungu ni mwana sana.

Newer Post Older Post