Kundi la Muziki wa Injili la J SISTERS linaloundwa na wanamuziki ndugu JENNFFER, JESSICAR , JAQUILLINE na JULIET linatarajiwa Kuzindua albamu yao ya tatu inayojulikana kama CHUKUA USHINDI Jumapili hii ndani ya ukumbi wa DIAMOND JUBILEE.
Mgeni rasmi katika shughuli hiyo anatajiwa kuwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete litanogeshwa na waimbaji wa muziki wa Injili nchini kama Frola Mbasha, Bonny Mwaitege, Martha Maipaja na wengine wengi. Kiingilio cha juu ni shilingi 10,000, 5,000 na 3000 kwa watoto.
0 comments:
Post a Comment