LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

MWINJILISTI WA KIMATAIFA KABULA GEORGE AWAPONGEZA WAKENYA

Mwinjilisti wa kimataifa Kabula J.George amewapongeza wananchi wa Kenya hasa mkoa wa Kisii kwa mapokezi yao mazuri waliyompa kwenye kanisa la Mlima wa Sayuni na kumwandalia mkutano mkubwa wa nje ulioponya watu wengi.
Kabula amewashukuru waumini wa kanisa hilo kwa ukarimu wao wote waliouonesha kwa muda wa wiki moja akiwa kanisani hapo kwa ajili ya kulihubiri neno la Mungu kwa njia ya uimbaji na kuhubiri.
Anashukuru Mungu pia kutumia wachungaji wote wa kanisa hilo pamoja na Edward Makoli. Kabula alitumia nafasi hiyo kuwakaribisha waumini hao kuja Tanzania kwa ajili ya kulitangaza neno la Mungu.

Newer Post Older Post

One Response to “MWINJILISTI WA KIMATAIFA KABULA GEORGE AWAPONGEZA WAKENYA”

masharubu said...

Kazi yako ni njema sana mtumishi wa Mungu Kabula endelea kunyenyekea kwenye mkono wa Bwana.