LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

CHAPANYOTA: JULAI 21 ITAKUWA SIKU YA KUKUMBUKWA MBEYA

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini, Ambele Chapanyota amesema kuwa Julai 21, 2013 itabaki kuwa siku ya kukumbukwa kwa wakazi wa mkoa wa Mbeya ambapo ataimba vibao vyake vyote na vingine ambavyo havijawahi kusikika popote pale katika uzinduzi wa DVD ya Nitang’ara Tu ya Mwinjilisti Kabula George.
Chapanyota mwenye maono ya kuibadilisha jamii ya Tanzania kwa njia ya uimbaji na kuhubiri neono la Mungu alisema kuwa kwa sasa anafanya maandalizi makali yeye na vijana wake ambao wamekuwa wakilitawala jukwaa kwa nguvu zote.
“Julai 21, 2013 itabakiwa siku ya kukumbukwa kwa wakazi wa Mbeya watakaofika katika uzinduzi wa Mwinjilisti Kabula utakaofanyika katika Kanisa la Moravian Usharika wa Yerusalem maeneo ya Airport kwani kuna vitu vikali ambavyo sijawahi kuvionesha popote pale siku hiyo nitavionesha,” alisema Chapanyota.
Chapanyota amewataka wakazi wote wa mkoa wa Mbeya siku hiyo kufika kwa wingi katika uzinduzi huo ambao ni wa kwanza kufanywa na mwinjilisti Kabula hivyo ni vema wakaonesha ushirikiano wa kujumuika kwa pamoja kwa ajili ya kufanikisha shughuli hiyo.
Mwimbaji huyo anayetamba na albamu zake mbili SALAMA KWA YESU na  YESU TU amemaliza kwa kusema kuwa siku hiyo siyo ya kukosa kwani hatapenda kuona mtu anasimuliwa kile atakachokifanya katika ukumbi huo.

Newer Post Older Post