LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

NYIMBO ZA KABULA ZAZIDI KUWA BARAKA KWA WATU WENGI

Nikama hadithi, lakini ni kweli kuwa nyimbo za muimbaji wa muziki wa Injili nchini Kabula J.George zimeendelea kufanyika baraka katika jamii baada ya siku za hivi karibuni Askofu wa Huduma ya Neno la Upatanisho (The Word of Reconciliation Ministries), Nicolaus Suguye (pichani) na Michael Lucas Mkenda kuelezea jinsi nyimbo hizo zilivyowahudumia baada ya kupatwa na matatizo.

Mkenda yeye hivi karibuni alikamatwa na jeshi la polisi nchini baada ya kudai kuiba mali yenye thamani ya shilingi bilioni moja na kujikuta anapata mateso makali kutoka kwa askari waliokuwa wamemkamata wakifanya hivyo kwa lengo la kumbana akiri kuwa yeye ndiye aliyechukua mali hiyo vinginevyo watamuua.

Baba huyo aliteswa vikali na askari hao ambao inasadikika kuwa walipewa pesa na mwenye mali ili wamtese na kweli walifanya hivyo na walimkaba shingo mpaka haja ndogo ikatoka lakini yeye alivumilia kwa kujua kuwa mateso aliyokuwa anayapata yalitokana na kuonewa na mwenye mali ambaye inadaiwa kuwa yeye ndiye aliyesababisha upotevu wa mali hiyo na kuamua kumtoa kafara ili aendelee kula vya wizi.Kwa habari kamili gonga hapa

Newer Post Older Post