LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Hotuba ya Krismasi ya Papa

VATICAN
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Benedikti wa 16, ametoa wito kwa ulimwengu kuachana na vurugu na machafuko katika hotuba yake ya sikukuu ya Krismasi. Papa Benedict alitoa hotuba hiyo saa chache baada ya kuangushwa chini na mwanamke aliyeruka vizuizi vya usalama  katika misa ya mkesha wa Krismasi. Mwanamke huyo aliyetambulika kwa jina la Susana Maiolo, ametajwa kuwa na historia ya matatizo ya akili  na aliwahi pia kujaribu kumkaribia kiongozi huyo wa kidini mwaka uliopita lakini akazuiwa. Kiongozi huyo wa kidini, hata hivyo, alinyanyuka mara moja baada ya tukio hilo la kuanguka na kuonekana kuwa katika hali nzuri ya kiafya wakati akihutubia umati wa wafuasi waliokuwa wamekusanyika katika uwanja wa kanisa la St Peters.
 

Newer Post Older Post