LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

Wimbo bora wa injili mwaka 2009

Nyimbo za injili zipatazo 30, zimeingizwa katika kinyang’anyiro za kutafuta wimbo bora wa mwaka 2009. Shindano hilo linaendeshwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1). Watazamaji wa TBC1 wanatakiwa kuchagua wimbo mmoja kati ya hizo, kisha kupiga kura kwa kuandika jina la wimbo na namba ya mhusika kwenda 15788. Kipindi cha shindano hilo kinarushwa majira ya saa 3:15 usiku kuanzia Desemba 25 mpaka 27. Mshindi wa atapatikana Desemba 27 mwaka huu.
Waimbaji waliokatika shindano hilo na namba zao za ushiriki kwenye mabano ni;
Neema Mwaipopo – Usijinyime raha (101)
Jenn Joel Makila -  Mungu hana upendeleo (102)
Jennifer Mgendi – Jaribu langu (103)
AIC Chang’ombe – Mpinga Kristo (104)
Medrick Sanga  -  Mapambano  (105)
Mwanga town Choir – Mwambie Yesu (106)
Ency Mwalukasa – Usilie (107)
AIC Mwadui – Haki (108)
Apostle Kyande – Selemala (109)
AIC Makongo – Kekundu (110)
Rose Mahenge – Mbinguni ndiko nyumbani (111)
Jenn Miso – Omoyo (112)
Solomon Mukubwa – Mfalme (113)
Upendo group – Jina lako li hai (114)
Rose Mhando – Jipange sawasawa (115)
Upendo group – Yesu yeye yule (116)
Flora Mbasha – Furaha yako (117)
Rose Mhando – Si salama (118)
Joseph Nyuki – Tegemeo langu (119)
Mt. Cecilia Arusha – Nimevunja mkataba na shetani (120)
Upendo group – Mungu wetu ni mwema (121)
Geraldine Odwaa – Upendo wa ajabu (122)
Upendo group – Amen haleluya (123)
Abiud Misholi – Tenda miujiza (124)
Christina Shusho – Unikumbuke (125)
Ado November – Amenitoa mbali (126)
Upendo Nkone – Haleluya usifiwe (127)
Mhubiri kwaya – Nani kama wewe (128)
Rose Mhando – Nibebe (129)
Bahati Bukuku – Waraka (130)
Piga kura sasa kwa wimbo unaopenda uwe Bora mwaka 2009  kwa kuandika namba ya mwenye wimbo na kisha tuma kwenda 15788.








Newer Post Older Post

One Response to “Wimbo bora wa injili mwaka 2009”

Anonymous said...

Habari, nashukuru sana kwa walioandaa jambo hili la kutafuta wimbo bora wa mwaka wa Muziki wa injili, nawapongeza sana kwa jambo hili kwani kwa kufanya hivi wanazidi kulipa nguvu neno la Mungu, kueneza neno la Mungu na kuwafanya watu wakumbuke kuyatenda matendo yanayompendiza Mungu.

Sijajua ni vigezo gani vilitumika kuchagua nyimbo ambazo zimependekezwa katika kuchagua nyimbo bora za mwaka huu. Kwa maoni yangu yaliyo wazi na huru bila kujali upande wowote naona bado kuna kundi kubwa tu la waimbaji halipo pia kwaya nyingi hazipo ambazo nazo katika mwaka huu zimefanya vizuri sana katika kumtukuza Mungu kwenye Tv na radio mfano Angela Chibalonza ( najua ametutangulia mbele za haki ila mwaka huu nyimbo zake zimelisifu sana jina la Bwana). The Reapers kimara albamu Ninaye rafiki, Bonny Mwaitege,Kitim tim, Marion Shako na wengine wengi. Mawazo yangu nikuwa ingekuwa vyema kuwapatia wasikilizaji au waangaliaji wakachagua wenyewe kuanzia mwanzo ila si kuwachagulia ndipo wachague kati ya hao. kwani kuna kufanya hivyo kunapunguza wingo wa uchaguzi.