LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

KAMPENI YA KOMESHA UCHAWI NA MCHAWI KUENDELEO KESHO


ILE kampeni ya Komesha Uchawi na Mchawi Lete Roho kwa Yesu inaendelea tena kesho katika huduma ya The Word of Reconciliation Ministries (WRM) ikiongozwa na Nabii Nicolaus ambaye ni mwangalizi wa huduma hiyo. Akizungumza Tanzania Gospel Music muda mfupi uliopita, Nabii Nicolaus mesema kuwa, maombezi ya kesho yatawahusisha watu wenye shida mbalimbali waliofungwa na nguvu za giza na kukosa kazi na kesho itakuwa siku ya kufunguli

Nabii Nicolaus akimshika mtoto ili sauti yake isikike. Kusho ni mama wa mtoto huyo Josephine akishuhudia jinsi ya kupata muujiza wa kujifungua mwanaye wa kiume bila uchungu kuuma baada ya kutabiliwa hivyo na nabii.


Nabii Nicolaus akifurahi baada ya sauti ya mtoto kusikika


Nabii Nicolaus akiwaombea waamini Jumapili iliyopita


Mama huyu akitapika vitu alivyolishwa kichawi na alipokea ukombozi baada ya kuombewa na Nabii Nicolaus.


Bwana Masamaki kushoto akitoa ushuhuda wa kuteuliwa kuwa kamishina wa Idara forodha TRA

Newer Post Older Post