LULU, PACHA WA DOTNATA NDANI YA MBEYA AGOSTI 4,2013

WASANII WA FILAMU NCHINI ELIZABETH MICHAEL (LULU) NA PACHA WA DOTNA NI MIONGONI MWA WAGENI WATAKAOHUDHURIA TAMASHA LA KUITAMBULIA ALBAM YA NITANG’ARA TU YA MWINJILISTI KABULA GEORGE UTAKAOFANYIKA KATIKA MKOA WA MBEYA TAREHE 4 MWEZI WA 8, 2013. SEHEMU AMBAPO LITAFANYIKA TAMASHA HILO ITATANGAZWA HIVI KARIBUNI. WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0755 240136/0712001880.

JIPATIE SOFA SAFI KWA KOMBA SOFA SHOORM MKOANI MBEYA

KOMBA SOFA SHOORM (YESU NDIYE) NI WATENGENEZAJI WA SOFA ZA KISASA NA KUZIUZA KWA GHARA NAFUU SANA. WAPO MBEYA STRIRED JIRANI NA KANISA LA HIJA MWANJELWA JIRANI NA KANISA KUBWA WA ROMA. WASILIANA NAO KWA SIMU NAMBA 0754553467 AU 0655 553467. NYOTE MNAKARIBISHWA.

ECK PRODUCTION STUDIO YA KISASA NA KIMBILIO LA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA.



IPO MWEMBECHAI JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAIMBAJI KAMA ROSE MUHANDO, HABATI BUKUKU, BONY MWAITEGE,UPENDO NKONE, JANGALA SON, MWANSASU NA WENGINE WENGI WAMEREKODIA KATIKA STUDIO HIYO. WASILIANA NAO KWA NAMBA +255 656 388 404

REDIO USHINDI FM KIPENZI CHA WATU WENGI NYANDA ZA JUU KUSINI

MWINJILISTI KABULA: NITAING’ARISHA MBEYA JULAI 21


               
MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini Mwinjilisti Kabula George amesema kuwa atainga’ara Mbeya  siku ya tamasha la kuitambulisha albamu yake ya Nitang’ara litakalofanyika katika kanisa la Moravian Usharika wa Yerusalem Airport.
Akizungumza na Tanzania Gospel Music leo muda mfupi uliopita, Mwinjilisti Kabula amesema kuwa hii ni mara ya kwanza kutoa huduma katika mkoa wa Mbeya hivyo atahakikisha anaweka historia katika fani ya muziki huo.
“Nitaing’arisha Mbeya Julai 21 mwaka huu katika tamasha la kuitambulisha DVD yangu ya Nitang’ara Tu. Nipo katika mazoezi makali kwa ajili ya kuwafurahisha Wanambeya watakaofika katika shughuli hiyo.
Tamasha hilo litanogeshwa na wakali wa muziki huo kutoka mikoa mitatu ya Tanzania Bara wakiongozwa na  Ambele Chapanyota,Christina Shusho, Enock Jackson na wengine wengi.
Mratibu tamasha hilo George Kayala  alisema kuwa kiingilio katika tamasha hilo kitakuwa elfu 1000 kwa wakubwa na 500 kwa watoto ili kuwawezesha watu wengi kufika kushuhudia tamasha hilo.
“Tumeamua kuweka kiingilio kidogo ambacho kitamuwezesha kila mmoja kuingia kushuhudia tamasha hilo ambalo tunaamini litaweka historia mkoani hapo, kwani pia ni mara ya kwanza kwa mwinjilisti Kabula kutoa huduma mkoani hapo,” alisema Kayala.
Tamasha hilo linadhaminiwa na , Ushindi Redio ya Mbeya, GMK Production, RGC Miracle Center Tabata Chang’ombe, Shalom Production, Mbeya Yetu blog, Tanzania Gospel Music blog na The Genesis Global College. 

Newer Post Older Post